![]() |
Col (rtd).Ngemela Lubinga (Katibu NEC, Secretariat and Foreign Relations na Mlezi Mkoa wa Geita) akiwa katika banda la Wizara ya Madini alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho uwanja wa EPZA mjini Geita leo 25/9/2021 |
Vilevile, Mhe.Col (rtd).Ngemela Lubinga (Katibu NEC, Secretariat and Foreign Relations na Mlezi Mkoa wa Geita) amefurahishwa na jitihada kubwa sana za Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kuwa na banda la maonesho kwani inarahisisha kwa Chama kukuza wingo mpana wa kupata wanachama wapya na kuleta chachu ya kutekeleza shughuli za maendeleo kwa kufuta mwongozo wa Ilani ya Chama Cha Mpainduzi na serikali ya Chama Cha Mapinduzi katika Mkoa Wa Geita na Tanzania kwa Ujumla.
Col (rtd).Ngemela Lubinga (Katibu NEC, Secretariat and Foreign Relations na Mlezi Mkoa wa Geita) akiwa katika banda la CCM alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho uwanja wa EPZA mjini Geita |
Ameipongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kuruhusu uwepo wa banda la Mkuu wa Mkoa kwa lengo la kutoa huduma za kwa wananchi kwa kipindi chote cha maonesho ya Teknolojia na uwekezaji kwenye sekta ya madini.
Col (rtd).Ngemela Lubinga (Katibu NEC, Secretariat and Foreign Relations na Mlezi Mkoa wa Geita) akiwa katika banda la Mkuu wa Mkoa Geita alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho uwanja wa EPZA mjini Geita Septemba 25,2021 |
Col (rtd).Ngemela Lubinga (Katibu NEC, Secretariat and Foreign Relations na Mlezi Mkoa wa Geita) akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mkuu wa Mkoa Geita alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho uwanja wa EPZA mjini Geita Septemba 25, 2021 |
0 Comments