TANGAZA NASI: geitapressclub@gmail.com

WALIMU WAFUNDWA TANDAHIMBA

Mhe. Kanali Michael Mntenjele Mkuu wa wilaya Tandahimba akifungua mkutano mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba leo 20.03.2025

 Na: Beatus Bihigi - Mtwara. 

Mhe. Kanali Mntenjele amewataka walimu kuzingatia maadili yao ya kazi na kujiepusha na vitendo visivyo faa katika jamii wanazoishi na kufanya kazi" Walimu tunaaminiwa hivyo tuwe mfano kwa kila jambo ikiwemo uvaaji wenu, haifai Mwalimu kuvaa kata kundu yaani K. K" alisema Kanali Mntenjele Mkuu wa wilaya Tandahimba.


Mhe. Kanali Michael Mntenjele (Mkuu wa wilaya Tandahimba) aliyesimama akifungua mkutano Mkuu wa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Tandahimba leo 20/03/2025

Mhe. Kanali Michael Mntenjele (Mkuu wa wilaya Tandahimba) aliyesimama akifungua mkutano Mkuu wa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Tandahimba 20 March 2025

Mhe. Kanali Michael Mntenjele (Mkuu wa wilaya Tandahimba) aliyesimama akifungua mkutano Mkuu wa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Tandahimba. 

Mhe. Kanali Michael Mntenjele (Mkuu wa wilaya Tandahimba) aliyesimama akifungua mkutano Mkuu wa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Tandahimba, kulia kwake ni Ismail Nahita(Mwenyekiti mstaafu CWT Tandahimba) na Michael Harold Chihangala ( Mwakilishi wa Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Tandahimba, kushoto ni Anthony Mang'waru (Katibu CWT wilaya Tandahimba)

Aidha Mkuu wa wilaya Tandahimba Mhe. Kanali Michael Mntenjele amewapongeza walimu kwa kazi nzuri wanayofanya ya kuwafundisha Wanafunzi katika shule za msingi na sekondari maeneo yote ya Wilaya ya Tandahimba.


Pichani ni Deogratiasi Hokororo - Katibu msaidizi tume ya utumishi wa walimu (TSC) Wilaya ya Tandahimba. 

Pichani kushoto ni Rajabu Saidi -Kaimu Afisa Elimu awali na msingi wilaya ya Tandahimba na kulia ni Mzunza hazina mstaafu CWT wilaya ya Tandahimba Mwl. Rajabu Nalola 


Pamoja na mambo mengine aliyotolea ufafanuzi kwa ngazi ya Wilaya Mhe Kanali Mntenjele amewaahidi walimu Ofisi yake kuendelea kushirikiana na Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba.

Katibu wa CWT wilaya ya Tandahimba (aliyevaa kofia) Mwl.Anthony Mang'waru akiwa na Afisa kutoka Ofisi ya Uthibiti ubora (w) Tandahimba kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha walimu Tanzania wilaya Tandahimba. 

Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba kimefanya mkutano Mkuu wake leo tarehe 20/03/2025 ukiwa na ajenda zisizopungua nane lakini kuu ikiwa ni ajenda ya uchaguzi wa viongozi wa Chama hicho ngazi ya Wilaya. 

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Tandahimba leo 20 Machi 2025.

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Tandahimba leo 20 Machi 2025

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Tandahimba leo 20 Machi 2025

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Tandahimba leo 20 Machi 2025


Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Tandahimba leo 20 Machi 2025

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Tandahimba leo 20 Machi 2025


Mwisho 

Post a Comment

0 Comments