 |
Robert Nyamaigoro Mwenyekiti waJumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Geita wakati akizindua utekelezaji wa mwongozo wa utoaji Uji na Chakula kwa wanafunzi shuleni
|
Na Renatus Masuguliko, Geita.
WALIMU na wazazi wametakiwa kushirikiana na walimu kuwajengea ujasiri wanafunzi kuvifichua vitendo vya ukatili na unyanyasaji wakijinsia wanaotendewa wawapo shuleni na majumbnni ili kujenga jamii yenye amani na ustaarabu.
 |
Robert Nyamaigoro Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Geita akiwamiminia uji Wanafunzi. |
Wito huo umetolew ana Robert Nyamaigoro Mwenyekiti waJumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi wilaya ya Geita wakati akizindua utekelezaji wa mwongozo wa utoaji Uji na Chakula kwa wanafunzi shuleni kiwilaya uliofanyika katika shule ya Msingi Mbugani iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Geita yenye wanafunzi zaidi ya 2,220.
 |
Robert Nyamaigoro Mwenyekiti waJumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Geita akimtaka mwanafunzi alete kikombe awekewe uji wakati wa uzinduzi wa programu ya uji mashuleni Wilaya ya Geita |
Rehema Mtawala ni Katibu wa jumuiya ya wazazi wilaya ya Geita na Emmanuel Fortunatus ni Mqwewnyekiti wa CCM kata ya Kalangalala waliomo kwenye kamati kazi ya kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa.
Ramadhani Lukasi Mkome ni mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Geita akashiriki katika uzinduzi huo kwa vitendo kwa kuchangia huku mwnyekiti wa mtaa wa Mbugani John Joachim wanabainisha walivyojipanga kusimamia mpango huo.
 |
Robert Nyamaigoro Mwenyekiti waJumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Geita akiwa na viongozi wenzake katika Shule mojawapo Wilaya ya Geita |
Awali Mwalimu mkuuw a Shule hiyo ya Mbugani Edwick Ndunguru pamoja na kudai kuwepo kwa baadhi ya changamoto lakini akatumia fursa hiyo kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa serkali yake kuipatia shule hiyo zaidi ya shilingi milioni 330 kwa ajili ya ujezni wa miundombinu ikiwemo ujezniwa Bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.
 |
waJumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Geita wakati akizindua utekelezaji wa mwongozo wa utoaji Uji na Chakula kwa wanafunzi shuleni |
Mwisho.
0 Comments